Halloween Costume ideas 2015
Latest Post


 
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii,Meja Jenerali Gaudence S.Milanzi akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi,Jaji Meja Jenerali Projest A.Rwegasira akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais,Utumishi na Utawala Bora,Dkt.Laurian Ndumbaro akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Waandishi mbalimbali wa Vyombo vya Habari wakifuatilia kwa umakini hafla ya kuwaapisha kwa Makatibu Wakuu na Manaibu wao iliyofanyika leo katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango,Amina H.Shaban akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje,Afrika Mashariki,Kikanda na Kimataifa,Balozi Ramadhan  Muombwa Mwinyi akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa,Immaculate Peter Ngwale akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wake iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,Sayansi,Teknolojia na Ufundi,Profesa Simon S.Msanjila akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wake iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini,Profesa James Epifani Mdoe akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango,James Dotto akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria,Amon Mpanju akila kiapo cha utii mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt.John Pombe Joseph Magufuli na Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakati wa hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wake iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya Makatibu Wakuu na manaibu wao kabla ya kuapishwa na Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Pichani kuliani ni Makamau wa Rais Mh.Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Waziri Mkuu Mh Kassim Majaliwa wakati wa hafla fupi ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao Ikulu jijini Dar,wa tatu kulia ni Mke wa Rais,Mama Janeth Magufuli pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Bwa.George Masaju.
Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwa amembatana na  Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue wakiwasili kwenye hafla ya kuwaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu wao iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu jijini Dar es Salaam.

katika miji mbalimbali walijitokeza kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2016 kwa njia mbalimbali. Huu hapa ni mkusanyiko wa picha za hali ilivyokuwa.
Australia ilikuwa moja ya nchi za kwanza kuingia mwaka 2016, fataki zinaonekana hapa juu ya jumba la Opera House na daraja la Harbour Bridge.

Sydney
Mjini Sidney


Nchini Misri, fataki zinaonekana zikilipuka karibu na Piramidi.
Cairo
Cairo Misri

Jijini Berlin, fataki zilitawala anga kama inavyoonekana hapa juu ya Lango la Brandenburg mjini Berlin.
Berlin
Mjini Berlin

Mjini London, hivi ndivyo hali ilivyokuwa karibu na Big Ben. Maelfu ya watu walijitokeza kutazama fataki.
London
London Uingereza

Mji wa Baghdad haukuachwa nyuma, na hapa fataki zinaonekana zikilipuka katika Bustani ya Zawra.
Baghdad
Mjini Bagdad

Mjini Singapore, mwaka mpya ulikaribishwa kwa fataki. Hapa ni Marina Bay.
 
Singapore
Mjini Singapore
 
 
Mjini Kuala Lumpur, nchini Malaysia fataki zinaonekana zikilipuka karibu na jengo mashuhuri ya Petronas Towers.
Mjini Kuala Lampur
Mjini Taipeni, Taiwan, fataki zinaonekana kwenye jumba refu la Taipei 101.
Taipei
Mjini Taipei, Taiwan
 
Mjini Paris, watu walikusanyika Champs Elysees kutazama video ya Mwaka Mpya iliyoonyeshwa katika Arc de Triomphe.
Paris
Mjini Paris, Ufaransa.
Nchini India, mwanamume huyo alitumia nyanya, vitunguu na pilipili kuandika 2016.
Nyanya
Mjini Amristar, India
Mjini Auckland, New Zealand fataki zililipuliwa katika jumba la Auckland Sky Tower, mkesha wa Mwaka Mpya

Fataki New Zeland

Hapa, mwanamume anaonekana akitembea karibu na mapambo yaliyoandika 2016 katika mji wa Kiev, nchini Ukraine. GDP ya taifa hilo ilishuka asilimia 9 mwaka 2015.
Kiev
Mjini Kiev
Mjini Brazil, baadhi waliamua kufika katika ufuko wa Copacabana mjini Rio de Janeiro kuukaribisha mwaka mpya.
 
Brazil
Mjini Rio
Mjini Beijing watu wengi waikusanyika kwa hafla iliyokuwa Hekalu la Tai Miao karibu na Forbidden City mjini Beijing.
Beijing
Mjini Beijing

Baraza la Mitihani la Tanzania limekuwa likipigiwa simu na watu mbalimbali wakiomba ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa limebadilisha Viwango vya Ufaulu (Grade Ranges).
 
Baraza la Mitihani la Tanzania linapenda kuwajulisha watahiniwa na umma kwa ujumla kuwa taarifa hizo ni za UONGO na zinalenga kupotosha umma na kuleta taharuki.
 
Hivyo, Baraza linaomba umma kuzipuuza taarifa hizo kwa kuwa Baraza halijafanya mabadiliko yoyote kuhusu Viwango vya Ufaulu vinavyotumika sasa.
Imetolewa na,
AFISA HABARI NA UHUSIANO




katika kuukaribisha Mwaka Mpya maeneo mbalimbali yamekua na Shamra Shamra za aina yake huku kila mmoja akitaka kuonesha furaha yake katika kuvuka mwaka 2015 na kuelekea Mwaka 2016. 

Camera yetu ilinasa matukio kadhaa ya Kuufunga mwaka maeneo mbalimbali na hapa iliweza ibukia katika Jiji la Arusha na kukuta Sherehe ya aina yake huku watu wakisherehekea Kuingia Mwaka Mpya.


 

Katika Hafla hiyo iliyoshehena Vinywaji, Vyakula na Muziki ilihudhuriwa na watu mbalimbali kutoka Moshi na Arusha akiwemo Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Godbless Lema. Mh. Davis Mosha hakusita kuonesha furaha yake pale Mwaka Mpya wa 2016 ulipoingia kwa kushukuru Jamaa na MArafiki walioamua kuungana na familia yake katika kuuaga Mwaka Mpya.

 

"Ninashukuru familia yangu kwa kuandaa chakula na vinywaji leo na kujumuika pamoja nanyi katika siku hii, Naamini wakati huu mngekua katika maeneo yenu ili kuukaribisha mwaka lakini mmeamua kuja kuungana na familia yangu na tumeweza kuuaga mwaka Pamoja." Alisema Davis Mosha.

Tazama Picha zaidi za sherehe hiyo.


Chief  Mandara akiwa katika tafrija ya kukaribisha mwaka mwaka






MSOSI  TIME
Waalikwa wakipata Chakula

Mpigana Masumbwi wa Siku nyingi Hendrew mwenye koti jeusi akipata chakula.




Mke wa Mh. Davis Mosha Akipata Chakula katika Hafla ya kuuaga Mwaka







  MUZIKI TIME








 





Picha na Malaika








MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget