Halloween Costume ideas 2015

"HAPA KAZI TU" KUWA KAULI MBIU YA AFRIKA MASHARIKI



Bunge la Afrika Mashariki

WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kauli moja wamezitaka nchi za Afrika Mashariki kuiga kile anachofanya Rais Magufuli ili kuweza kuleta ufanisi katika nchi zao.
Aidha taarifa kutoka katika kikao cha wabunge hao kimependekeza kauli mbiu ya Dr Magufuli ya ‘hapa kazi tu’itumike kama sera ya mataifa ya Afrika Mashariki ili kujiletea maendeleo
Toka aingie madarakani mapema mwezi uliopita Rais Magufuli ameweza kufanya mambo makubwa ambayo yamewavutia watu mbalimbali wa ndani na nnje ya nchi haswa katika kusimami mapato ya Serikali

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget