






Siku ya msanii ni siku maalum ambayo Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) lilibuni siku hiyo kwa mara ya kwanza mwaka 2008 katika kutekeleza sheria No:23 ya mwaka 1984 iliyounda Baraza hilo. Kwa mwaka 2015 maadhimisho ya siku hiyo yalichelewa kidogo kutokana na kupisha uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na Madiwani.

Post a Comment