Halloween Costume ideas 2015

PICHA ZA JINSI AFTER SKUL BASH ILIVYO HAPPEN…..

XXL ya cloudsFM kila mwaka hufanya party ya wanafunzi wote waliofunga shule ikiwa ni pamoja na wa shule ya Msingi,Sekondari,kwa pamoja party hii inaitwa After skul Bash,hii inaendelea sasa hivi katika ufukwe wa bahari  Escape 1 Mikocheni Dar es Salaam.
Wasanii waliotoa burudani katika jukwaa akiwemo Joh Makini,M Rap, G Nako, Nahreel, Aika, Jux, Ruby,Stereo, Makomando na wengineo.







Labels:

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget