Halloween Costume ideas 2015

SUGE KNIGHT KUITANGAZA AFRICA SWAHILI MEDIA

Alex Kassuwi akimpokea Mario Hugh Knignt Jr. aka Suge Knight bara baada ya kuwasili Bongo.
Mwaka 2013 Kampuni ya Africa Swahili Media ilifunguliwa Rasmi na kuanza kuwekwa mikakati sahihoi ya kuhakikisha inafanya vizuri katika soko la habari. Katika kuhakikisha hilo linafanikiwa The CEO wa Kampuni ya Africa Swahili Media Mr. Davis Mosha alimtembelea Suge Knight  ambaye ni Muwekezaji na Mjasiriamali mkubwa na pia alikuwa CEO wa Black Capital Records na pia amewahi kuwa CEO wa Death Row Records. Suge Knight amewapa mafanikio makubwa wanamuziki mbalimbali kama Tupac Shakur, Dr. Dre, Snoop Dogg Dogg,Outlaws na Tha Dogg. 


CEO wa Africa Swahili Media Mr Davis Mosha akiwa na Suge Knight huku akiwa ameambatana na Mtoto wake Edger Mosha.

Suge Knight aliwasili Hotel aliyofikia CEO wa Africa Swahili Media iliyopo Marriott LA nchini Marekani. kwa Ujio wa kufanya mazungumzo na CEO wa Africa Swahili Media Mr. Davis Mosha na kukubaliana kuanza kuitangaza kampuni hiyo ambayo pia ipo nchini Marekani. Africa Swahili Media ni kampuni yenye lengo la kuwa na vyombo vya habari ambavyo vitakuwa vikisambaza habari za Africa katika bara lote la Africa na Duniani kote. Kwa sasa Kampuni hiyo inafanya matengenezo ya Studio zake za kisasa za Radio na Tv ambavyo vitaanza kusikika hivi karibuni. 

Hii ndiyo Crew ambayo Suge Knight aliongozana nayo alipoenda kuzungumza na Mr. Davis Mosha


Labels:

Post a Comment

MKRdezign

Contact Form

Name

Email *

Message *

Powered by Blogger.
Javascript DisablePlease Enable Javascript To See All Widget