Alex Kassuwi akimpokea Mario Hugh Knignt Jr. aka Suge Knight bara baada ya kuwasili Bongo. |
CEO wa Africa Swahili Media Mr Davis Mosha akiwa na Suge Knight huku akiwa ameambatana na Mtoto wake Edger Mosha. |
Suge Knight aliwasili Hotel aliyofikia CEO wa Africa Swahili Media iliyopo Marriott LA nchini Marekani. kwa Ujio wa kufanya mazungumzo na CEO wa Africa Swahili Media Mr. Davis Mosha na kukubaliana kuanza kuitangaza kampuni hiyo ambayo pia ipo nchini Marekani. Africa Swahili Media ni kampuni yenye lengo la kuwa na vyombo vya habari ambavyo vitakuwa vikisambaza habari za Africa katika bara lote la Africa na Duniani kote. Kwa sasa Kampuni hiyo inafanya matengenezo ya Studio zake za kisasa za Radio na Tv ambavyo vitaanza kusikika hivi karibuni.
Hii ndiyo Crew ambayo Suge Knight aliongozana nayo alipoenda kuzungumza na Mr. Davis Mosha |
Post a Comment